Header Ads Widget

Ticker

6/recent/ticker-posts

UGONJWA WA MIFUPA AMA MAUMIVU YA VIUNGO KAMA NYONGA, KIUNO,MAGOTI,UTI WA MGONGO IMEKUA NI UGONJWA SUGU KWA WATU WENGI.


ETERNAL INTERNATIONAL KUSHIRIKIANA NA MADAKTARI BINGWA KUTOKA CHINA WANAWAKATIBISHA WOTE KUFIKA HOSPITALINI KWA AJILI YA VIPIMO NA TIBA.
VIPIMO UTAVIPATA KWA SHILINGI 10,000 TU!!!

Je wewe ni mojawapo ya watu wanaosumbuliwa na maumivu makali ya viungo vyako kama nyonga,magoti,uti wa mgongo ama unapata ganzi kwenye miguu,mikono ama unasumbuliwa kuwaka moto kwa miguu,kuvimba ama kukakamaa kwa mifupa ama misuli mbali na hapo unasumbuliwa na stroke ama kuparalaizi?
Kama ndio wai mapema upatiwe vipimo uweze kujua shida yako ama chanzo cha maumivu hayo na madaktari bingwa kutoka china na upatiwe tiba kabla ugonjwa haujakomaa.

TUPO MORROKO KINONDONI DAR ES SALAAM MIKOANI PIA TUNATUMA BIDHAA.
KARIBUNI WOTE.
WASILIANA NASI KWA NAMBA 0762354355/0716538562.

Post a Comment

0 Comments